Mahakama moja mashariki mwa India imemhukumu mwanamume mmoja wa Bangladesh kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mtawa mwenye umri wa 71 mnamo mwezi Machi 2015.
Mahakama hiyo ya Kolkata ilimpata Nazrul Islam na makosa ya ubakaji na jaribio la mauaji.
Watu wengine watano wa...